Acacia na Tanzania wakubaliana,Rais apokea taarifa.

In Kitaifa

Rais wa jamuhuri ya muungano wa tanzani Dr John Pombe Magufuli, leo amepokea taarifa ya mazungumzo yaliyofanyika kati ya timu ya wataalam aliyoiunda, na timu ya kampuni ya Barrick Gold kuhusu biashara ya ya madini ya dhahabu maarufu kama makinikia.

Akiwasilisha taarifa hiyo mapema leo ikulu jijini Dar es salaam, Antena imemnasa waziri wa katiba na sheria Prof Paramagamba Kabudi, akieleza maeneo ambayo Barrack Gold wamekubaliana na Tanzania.

Kwa upande rais Magufuli amemshukuru mwenyekiti mtendaji wa Barrick kwa utashi wake, na amewashukuru tume za makinikia na timu ya majadiliano ya Tanzania na Bunge.

Amesema anajua huu ni mwanzo wa mazungumzo ulikuwa mgumu, lakini mwisho wa siku anawashukuru kwa kazi nzuri waliyofanya.

 

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

WANAFUNZI 500 WAPEWA MBINU WASILOWEE KWENYE MADAWA YA KULEVYA.

Na Tonie kaisoe ,Arusha Wanafunzi zaidi ya 500 wa shule ya Sekondari Arusha Jiji na Wilaya ya Arumeru wamepewa mbinu

Read More...

MR. IBU AFARIKI DUNIA

Mchekeshaji maarufu wa Nollywood nchini Nigeria, John Okafor, almaarufu Mr. Ibu amefariki dunia baada ya kuugua kwa muda mrefu.

Read More...

POLISI, LATRA WAPIGA FAINI MABASI YALIYO ZIDISHA NAULI ARUSHA.

Jeshi la Polisi kikosi cha Usalama Barabarani Mkoa wa Arusha kwa kushirikaiana na Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini (LATRA)

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu