Msaniii wa bongo Fleva Ali Kiba almaarufu King Kiba amempiga mkwara Msanii mwenzake ambaye ni hasimu wake Daimond Platnumz kupitia ukurasa wake wa Instagram.
Tizama alichokiandika
👇👇👇👇
Usiniletee mambo ya darasa la Pili unaniiibia penseli alafu unanisaidia kutafuta .(UNIKOME)
Mwanaume huwa anaongeaga mara moja tu sasa ukitaka nikuweke uchi watu wajue unayonifanyia hata kwenye hilo tamasha hatokuja mtu sasa tuishie hapo nakutakia tamasha njema @diamondplatnumz
#KingKiba