Mwimbaji Ariana Grande alipangwa kuperfom kwenye tuzo za Grammy 2019. Lakini inaripotiwa kwamba Grande amejitoa kuperfom siku hiyo kutokana na kutokuwa na maelewano na Watayarishaji wa show hiyo.
Fahamu kuwa sio tu kutoperfom bali pia kutokuwepo kabisa katika kwani Maproducer wa show hiyo hawakukubaliana na ombi lake la kuperfom single yake mpya ya ‘7 Rings’.
Wazalishaji walisema anaweza kufanya nyimbo mpya kutoka kwenye albamu yake mpya , lakini tu kama sehemu ya mchanganyiko wa nyimbo (medley ). Kitu ambacho Grande amekiona kama “kutusiwa” na kumfanya aache kufanya performance siku nne kabla ya shoe kufanyika .
Ariana amenominatiwa kwenye Awards mbili “Best Pop Vocal” pamoja na Best Pop Vocal Album”
Show imepangwa kufanyika 10 feb siku ya jumapili .