Arsenal kumenyana na Tottenham, debi ya London.

In Kimataifa, Michezo

The Gunners pia itamkagua beki Shkrodan Mustafi na Danny Welbeck ambao wamerudi katika mazoezi huku Alexandre Lacazzette akitarajiwa kucheza.

Harry Kane , Dele Alli na Harry Winks wote wanatarajiwa kushiriki licha ya kukosa kuichezea Uingereza kutokana na matatizo ya majeraha.

Kipa Hugo Hloris, ambaye hakucheza katika mechi ya ushindi dhidi ya Crystal Palace kutokana na jereha la nyonga pia huenda akashiriki.

Kipa wa ziada Michel Vorm alirudi katika mazoezi siku ya Alhamisi na atakaguliwa, lakini Toby Alderweireld ana jeraha baya la nyonga na huenda beki huyo akasalia nje hadi baada ya sikukuu ya Krisimasi.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

WANAFUNZI 500 WAPEWA MBINU WASILOWEE KWENYE MADAWA YA KULEVYA.

Na Tonie kaisoe ,Arusha Wanafunzi zaidi ya 500 wa shule ya Sekondari Arusha Jiji na Wilaya ya Arumeru wamepewa mbinu

Read More...

MR. IBU AFARIKI DUNIA

Mchekeshaji maarufu wa Nollywood nchini Nigeria, John Okafor, almaarufu Mr. Ibu amefariki dunia baada ya kuugua kwa muda mrefu.

Read More...

POLISI, LATRA WAPIGA FAINI MABASI YALIYO ZIDISHA NAULI ARUSHA.

Jeshi la Polisi kikosi cha Usalama Barabarani Mkoa wa Arusha kwa kushirikaiana na Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini (LATRA)

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu