Askari aliemuokoa mtoto kwenye shimo la choo asema mtoto alikuwa anamfuata mama yake uani….

In Kitaifa

Askari wa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji, Koplo Denis Minja
aliyemuokoa mtoto eneo la Murugwanza Wilayani Ngara
kwenye shimo la choo mwezi Mei mwaka huu,amemuokoa
mtoto mwingine jana Desemba 28-2020 huko Kata ya Kayanga
Tarafa ya Bugene Wilayani Karagwe.


Kwa mujibu wa Mkuu wa zimamoto na Uokoaji mkoa wa
Kagera, Inspekta Shaban Hamis Dawa amesema kuwa mtoto
huyo aitwaye Anekius Evarist miaka 2 alimfata mama yake
aliyeingia bafuni linalokaribiana na choo ila mtoto huyo aliingia
chooni akidhani mama yeke naye yupo chooni.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

WANAFUNZI 500 WAPEWA MBINU WASILOWEE KWENYE MADAWA YA KULEVYA.

Na Tonie kaisoe ,Arusha Wanafunzi zaidi ya 500 wa shule ya Sekondari Arusha Jiji na Wilaya ya Arumeru wamepewa mbinu

Read More...

MR. IBU AFARIKI DUNIA

Mchekeshaji maarufu wa Nollywood nchini Nigeria, John Okafor, almaarufu Mr. Ibu amefariki dunia baada ya kuugua kwa muda mrefu.

Read More...

POLISI, LATRA WAPIGA FAINI MABASI YALIYO ZIDISHA NAULI ARUSHA.

Jeshi la Polisi kikosi cha Usalama Barabarani Mkoa wa Arusha kwa kushirikaiana na Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini (LATRA)

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu