AUAWA BAADA YA KUHISIWAKUWA NA VIRUSI VYA CORONA

In Kimataifa

Polisi huko Kwale wanakisaka kikundi cha watu ambacho kimemuua kijana Hezron
Kotin eneo la Kibundani nchini Kenya baada ya kumtuhumu kuwa na COVID 19.
Kamanda wa Polisi wa Kaunti ndogo ya Msambweni, Nehemia Bitok alisema kijana
huyo alikuwa akitembea kutoka kwa eneo la kunywa na aliingia kwenye kundi la
vijana ambao walianza kupiga kelele kuwa ana ugonjwa.
Vijana hao walishambulia mtu huyo wakiwa na silaha na kupelekea kifo chake.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

WANAFUNZI 500 WAPEWA MBINU WASILOWEE KWENYE MADAWA YA KULEVYA.

Na Tonie kaisoe ,Arusha Wanafunzi zaidi ya 500 wa shule ya Sekondari Arusha Jiji na Wilaya ya Arumeru wamepewa mbinu

Read More...

MR. IBU AFARIKI DUNIA

Mchekeshaji maarufu wa Nollywood nchini Nigeria, John Okafor, almaarufu Mr. Ibu amefariki dunia baada ya kuugua kwa muda mrefu.

Read More...

POLISI, LATRA WAPIGA FAINI MABASI YALIYO ZIDISHA NAULI ARUSHA.

Jeshi la Polisi kikosi cha Usalama Barabarani Mkoa wa Arusha kwa kushirikaiana na Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini (LATRA)

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu