Bibi harusi akatazwa kutabasamu kwenye harusi yake.

In Kimataifa, Mahusiano

 

Ukiuliza kila mwanamke alieolewa atakwambia namna siku ya harusi ni siku ya furaha kwa mwanamke.

Huko Tajiskistan nchi iliyo bara la Asia, mwanadada Hudoidodova mwenye miaka 22 amelazimika kutotabasamu na kutomwangalia mume wake machoni siku ya harusi yake kutokana na tamaduni zao kutoruhusu.

Ukitabasamu inaonyesha mlijuana kabla ya ndoa jambo ambalo hairuhusiwi, pia bibi harusi akifurahi inaonyesha amefurahi kuacha familia yake na kumfata mume wake.

Alipoulizwa kama aliolewa kwa kulazimishwa alisema hapana na alifurahia kupata mwanamme anaemruhusu kufanya kazi baada ya kuolewa tofauti na wanaume wengine waliomtaka zamani.

Raisi wa nchi hiyo Emomail Rahman, aliona Asrovov hana mke na kuwaamuru wataalamu wa kuwatafutia watu wachumba, wamtafutie ndipo wakampata mwanamke huyo aitwaye Hudoidi.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

WANAFUNZI 500 WAPEWA MBINU WASILOWEE KWENYE MADAWA YA KULEVYA.

Na Tonie kaisoe ,Arusha Wanafunzi zaidi ya 500 wa shule ya Sekondari Arusha Jiji na Wilaya ya Arumeru wamepewa mbinu

Read More...

MR. IBU AFARIKI DUNIA

Mchekeshaji maarufu wa Nollywood nchini Nigeria, John Okafor, almaarufu Mr. Ibu amefariki dunia baada ya kuugua kwa muda mrefu.

Read More...

POLISI, LATRA WAPIGA FAINI MABASI YALIYO ZIDISHA NAULI ARUSHA.

Jeshi la Polisi kikosi cha Usalama Barabarani Mkoa wa Arusha kwa kushirikaiana na Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini (LATRA)

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu