A Boy From Tandale kutoka Machi.

In Burudani, Kitaifa

Albamu ya Diamond Platnumz ya ‘A Boy From Tandale’ yenye ngoma takribani 20 kutua mwezo ujao.

Albamu hiyo inatarajiwa kutua rasmi mwezi ujao tarehe 16 huku ikiwa na hit kibao kama , ‘Hallelujah’ aliyoshirikisha Morgan Heritage’,‘Waka Waka’ aliyomshirikisha Rick Ross, ‘Marry You’ aliyomshirikisha Ne-Yo , ‘African Beuty’ aliyomshirikisha Omarion pamoja na ngoma zingine alizofanya mwenyewe kama ‘ Sikomi’ pamoja na zinginezo kutoka kwa wasanii kutoka Afrika.

Kwa mujibu wa meneja wa msanii huyo Sallam SK, kupitia mtandao wa kijamii wa Instagram ameweka rasmi tarehe hiyo huku akiujuza uma kuwa kwa sasa unaweza kutoa Pre-Order albamu hiyo.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

WANAFUNZI 500 WAPEWA MBINU WASILOWEE KWENYE MADAWA YA KULEVYA.

Na Tonie kaisoe ,Arusha Wanafunzi zaidi ya 500 wa shule ya Sekondari Arusha Jiji na Wilaya ya Arumeru wamepewa mbinu

Read More...

MR. IBU AFARIKI DUNIA

Mchekeshaji maarufu wa Nollywood nchini Nigeria, John Okafor, almaarufu Mr. Ibu amefariki dunia baada ya kuugua kwa muda mrefu.

Read More...

POLISI, LATRA WAPIGA FAINI MABASI YALIYO ZIDISHA NAULI ARUSHA.

Jeshi la Polisi kikosi cha Usalama Barabarani Mkoa wa Arusha kwa kushirikaiana na Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini (LATRA)

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu