Ndugu Isaac zumba wa ngarenaro, Arusha. Anatangaza kifo cha Mke wake Amabilis zumba ambaye ni Mdogo wake na Mama Regina Lowassa, kilichotokea jana katika hospitali ya taifa ya muhimbili. Mwili unategemewa kuagwa kesho ijumaa saa sita mchana, muhimbili hospital-katoliki, na baada ya hapo kuelekea Arusha kwa ajili ya mazishi siku ya Jumanne tar 8 January. Salaam ziwafikie ndugu wote wa koo za Zumba na Mumba waishio ndani na nje ya nchi.