Bunge laahirishwa kuomboleza kifo cha Mbunge wa CHADEMA

In Kitaifa

Naibu Spika wa Bunge Dr. Tulia Ackson  ameahirisha Bunge mpaka kesho saa 3 asubuhi kupisha maombolezo ya kifo cha aliyekuwa Mbunge wa Buyungu Kasuku Bilago aliyefariki Jumamosi katika Hospitali ya Taifa Muhimbili.

Mwili wa marehemu unatarajiwa kuagwa bungeni kesho Jumanne kuanzia saa 6 mchana, na kuzikwa jimboni kwake Jumatano.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

WANAFUNZI 500 WAPEWA MBINU WASILOWEE KWENYE MADAWA YA KULEVYA.

Na Tonie kaisoe ,Arusha Wanafunzi zaidi ya 500 wa shule ya Sekondari Arusha Jiji na Wilaya ya Arumeru wamepewa mbinu

Read More...

MR. IBU AFARIKI DUNIA

Mchekeshaji maarufu wa Nollywood nchini Nigeria, John Okafor, almaarufu Mr. Ibu amefariki dunia baada ya kuugua kwa muda mrefu.

Read More...

POLISI, LATRA WAPIGA FAINI MABASI YALIYO ZIDISHA NAULI ARUSHA.

Jeshi la Polisi kikosi cha Usalama Barabarani Mkoa wa Arusha kwa kushirikaiana na Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini (LATRA)

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu