Bunge lapiga marufuku masuala ya usalama wa Taifa kujadiliwa Bungeni.

In Kitaifa

Bunge limepiga marufuku masuala ya Usalama wa taifa kujadiliwa ndani ya chombo hicho, isipokuwa kama mbunge anaweza kuwasilisha hoja mahususi.
Naibu Spika wa Bunge Dk Tulia Ackson ametoa uamuzi huo jana, wakati Mbunge wa Viti Maalum (CCM) Angelina Malembeka alipokuwa akichangia mjadala wa makadirio ya mapato na matumizi ya Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi) kwa mwaka wa fedha wa 2017/18.
Katika kuchangia mjadala huo Malembeka alisema Idara ya Usalama wa Taifa inapaswa kuanza kuwahoji wabunge, walioeleza kuwa wana orodha ya wabunge 11 wanaotarajiwa kutekwa nyara na idara hiyo.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

WANAFUNZI 500 WAPEWA MBINU WASILOWEE KWENYE MADAWA YA KULEVYA.

Na Tonie kaisoe ,Arusha Wanafunzi zaidi ya 500 wa shule ya Sekondari Arusha Jiji na Wilaya ya Arumeru wamepewa mbinu

Read More...

MR. IBU AFARIKI DUNIA

Mchekeshaji maarufu wa Nollywood nchini Nigeria, John Okafor, almaarufu Mr. Ibu amefariki dunia baada ya kuugua kwa muda mrefu.

Read More...

POLISI, LATRA WAPIGA FAINI MABASI YALIYO ZIDISHA NAULI ARUSHA.

Jeshi la Polisi kikosi cha Usalama Barabarani Mkoa wa Arusha kwa kushirikaiana na Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini (LATRA)

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu