Bunge limepitisha sheria mpya ambayo sasa itatambua haki na dhamana ya serikali katika makinikia

In Kitaifa

Bunge limepitisha sheria mpya ambayo sasa itatambua haki na dhamana ya serikali katika makinikia, ambayo itakuwa ni marufuku kuchenjuliwa nje ya nchi.

Sheria hiyo inaeleza kuwa serikali itashiriki kwa asilimia kuanzia 16 hadi 50 katika shughuli zote za uchimbaji, uchakataji na uchejuaji madini, na ununuzi wa hisa katika kampuni ya uchimbaji madini.

Aidha Wakala wa Ukaguzi wa Madini TMAA umefutwa rasmi, na sasa kunaanzishwa Kamisheni ya Madini.

Waziri wa Katiba na Sheria Profesa Palamagamba Kabudi amesema kufutwa kwa TMAA, kunatokana na majukumu yake yaliyokuwa yakitekelezwa na wakala huyo, kuhamishiwa kwa Kamisheni ya Madini.

Kuanzia sasa umiliki wa leseni mbalimbali zinazotolewa kwa mujibu wa Sheria ya Madini,hautahamishwa kabla haujafanyiwa uendelezaji katika kitalu husika.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

WANAFUNZI 500 WAPEWA MBINU WASILOWEE KWENYE MADAWA YA KULEVYA.

Na Tonie kaisoe ,Arusha Wanafunzi zaidi ya 500 wa shule ya Sekondari Arusha Jiji na Wilaya ya Arumeru wamepewa mbinu

Read More...

MR. IBU AFARIKI DUNIA

Mchekeshaji maarufu wa Nollywood nchini Nigeria, John Okafor, almaarufu Mr. Ibu amefariki dunia baada ya kuugua kwa muda mrefu.

Read More...

POLISI, LATRA WAPIGA FAINI MABASI YALIYO ZIDISHA NAULI ARUSHA.

Jeshi la Polisi kikosi cha Usalama Barabarani Mkoa wa Arusha kwa kushirikaiana na Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini (LATRA)

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu