Cardi kwenye moja ya mahojian0 ameeleza jinsi gani watu walimtumia msg kuhusu kuachana na Offset amaye ni mpenzi wake .Card b ameonyesha kuwa wamekutana mara kadhaa na Offset bila kusahau vacation yao Puerto Rico.
Rapa Cardi b amekiambia kipindi kimoja kuwa anataka watoto wake wawe na wazazi wote wawili kwani yeye wazazi wake waliachana akiwa na miaka 13.Na alipoulizwa kuhusu wao kupatana akasema kuwa “I think we’re gonna be alright. You know, you got to take it slow.”
Akimanisha nadhani tutakuwa sawa, inabidi uchukulie vitu polepole.Na kusema anataka awe na watoto Zaidi ya huyo aliempata na Offset.