Chriss Brown akumbukaUgomvimkalinaRihannakupitia Documentary yakempya Idake hii mwanamziki Chrissbrown kupitia Clip ya Documentary yake Welcome to My Life amekumbushiaUgomvi aliokuwanao
TANZIA Msanii wa Bongo Fleva, Mfaume Selemani maarufu kama 'Dogo Mfaume', amefariki dunia leo hii. Alikuwa anasumbuliwa na uvimbe
Chindo Man azungumzia kifo cha mwanae aliyefariki kwa ajali ya Moto huko Marekani,pia amesema anatarajia kufanya collabo yake mpya
EEEEH bhana kama una kumbukumbu nzuri nishakupa taarifa za T.I kuachana na mkewe Tiny ambaye wamekuwa pamoja kwenye ndoa
Mohammed Omary a.k.a MUDY MOKO mwenye Umri wa miaka kumi ( 10 ) ni mwanafunzi wa darasa la nne
Kupitia kipindi cha #FunikoBase, DJHAZUU Amefanya Exclusive Interview na Msanii huyo na akaongelea kila kitu huku akimhusisha Manager wa
Mwili wa Baba mzazi wa Msanii wa Kizazi Kipya, Belle9 unatarajiwa Kuhifadhiwa leo huko nyumbani kwake Mkoani Morogoro. Kwa mujibu
#CameraYaradio5 ikapita Katika Viwanja vya nane nane Njiro Arusha ambapo ilifanyika #NyamaChomaFestival Juzi na haya ndio matukio. #Tag unaemjua mwambie aje achukue
Kama unakumbukumbu juzi kati nilikupa tarifa ya Aliyekuwa Mchumba wa CB Karrueche kufikisha shauri lake Mahakamani kwamba CB anamsumbua