Chelsea wakicheza ugenini katika uwanja wa Stadio Olimpico, wamepokea kipigo cha mabao 3-0 kutoka kwa wababe wa Italia As
Klabu ya Ginora ikicheza katika uwanja wake wa nyumbani wa Municipal de Montilivi, iliwaangushia kipigo cha mabao 2-1 Real
Kwa mara ya pili Cristiano Ronaldo ametwaa tuzo ya The Best Fifa awards baada ya kupata 43% ya kura
Chama cha viziwi Chavita wamefanya Bonanza la Michezo katika kata ya Sombetini Arusha kwa kucheza mpira wa miguu na
Shirikisho la soka nchini Algeria limemtangaza mchezaji wa zamani wa timu ya taifa ya nchi hiyo Rabah Madjer, kuwa
Rafa Benitez amekataa ofa ya kujiunga na klabu ya Everton, ambayo inatajwa kuwa mbioni kumtimua kazi meneja wao wa
Kocha wa klabu ya Chelsea Antonio Conte, amemwambia kocha wa Manchester United Jose Mourinho kwamba aangalie timu yake na
Lionel Messi alifunga bao lake la 100 katika michuano ya klabu bingwa barani Ulaya, wakati Barcelona ikiibuka na ushindi
Beki wa Liverpool Dejan Lovren amemshutumu mshambuliaji wa Manchester United Romelu Lukaku kwa kumpiga teke usoni kwa makusudi katika
Kambi ya mabingwa watetezi Yanga mjini Tabora iko vizuri na wanachotaka ni kumalizia kazi ya kuondoka na pointi sita