Category: Siasa

Kenyatta: Nitakuwa rais wa Wakenya wote.

Rais Kenyatta amesema aliwasikiliza kwa makini wapinzani wake uchaguzini na kwamba atatekeleza baadhi ya mawazo na mapendekezo yao. "Naahidi kulinda

Read More...

Rais Kenyatta aapishwa rasmi.

Rais Kenyatta: "Naapa kwamba nitakuwa mwaminifu, kikamilifu, kwa Jamhuri ya Kenya, kwamba nitatii, nitahifadhi, kulinda na kutetea Katiba ya

Read More...

Kenyatta aapishwa kutekeleza majukumu ya urais.

Msajili wa Mahakama Anne Amadi, anamlisha sasa kiapo cha kutekeleza majukumu ya afisi ya rais. Rais Kenyatta: "Nitatekeleza majukumu yangu,

Read More...

Chadema wajitoa uchaguzi mdogo Arumeru.

Mwenyekiti wa chama cha demokrasia na maendeleo CHADEMA Freeman Mbowe ametangaza kujitoa katika uchaguzi mdogo unaondelea kufanyika katika jimbo

Read More...

Mnangagwa aapishwa kuwa Rais wa Zimbabwe.

Raia wa Zimbabwe wamekusanyika kwa wingi kwenye uwanja wa michezo mjini katika mji mkuu wa nchi hiyo Harare kwa

Read More...

Masha,Msando na Patrobas Wajiunga CCM.

Aliyekuwa mwanachama wa CHADEMA Lawrence Masha ameomba kupokelewa katika chama alichokiama wakati wa uchaguzi mkuu mwaka 2015 ambacho ni

Read More...

Bunge kupiga kura ya kutokua na imani na Mugabe.

Chama cha rais wa Zimbabwe Robert Mugabe kinatarajiwa kuanza mchakato wa kupiga kura ya kutokuwa na imani nae. Afisa wa

Read More...

Polisi Watumia Mabomu ya Machozi Kuwatawanya Wafuasi wa Lowassa.

Polisi Mkoa wa Kilimanjaro wamelazimika kutumia mabomu ya machozi ili kuwatawanya wananchi kumwezesha mjumbe wa Kamati Kuu ya Chadema

Read More...

Raia wajitokeza kumshinikiza Mugabe kujiuzulu Zimbabwe.

Maelfu ya raia wa Zimbabwe wamejitokeza barabarni hasa mjini Harare wakijiandaa kwa mkutano mkubwa unaoungwa mkono na chama tawala

Read More...

Trump: Biashara inayowapendelea wengine haitakubalika.

Rais Donald Trum wa Marekani amesema kuwa Marekani haitavumilia biashara yenye upendeleo, katika hotuba yake iliojaa malalamishi katika mkutano

Read More...

Mobile Sliding Menu