Diwani Viti Maalum Digna John Nasari amesema kuwa anawashangaa Madiwani wanaoachia Nafasi zao,na kisha kuomba ridhaa tena kwa kuwa
Jana Rais Uhuru Kenyatta amekutana na mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi nchini humo IEBC, huku uchaguzi wa
Baadhi viongozi waliokuwa katika Chama cha ACT-Wazalendo wakiongozwa na Samson Mwigamba, leo wametangaza kujivua uanachama wa chama hicho na
Nyota wa zamani wa soka George Weah na makamu wa rais Joseph Boake, wanaelekea duru ya pili ya uchaguzi
Nchini Kenya mjadala unaendelea kufuatia kiongozi wa upinzani Raila Odinga kujiondoa, katika kinyang'anyiro cha uchaguzi wa marudio uliopangwa kufanyika
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli, leo amewaapisha Mawaziri 21 na Manaibu Waziri 21
Haki Kiongozi wa Korea Kaskazini, Kim Jong-un, amempandisha cheo dada yake mdogo, na kumpa madaraka zaidi katika chama tawala
Ikiwa ni siku kadhaa zimepita tangu mbunge wa Singida Mashariki Tundu Lissi kushambuliwa kwa risasi na watu wasiojulikana nyumbani
Chama cha Allience for Democratic Change ADC, kimelaani kushambuliwa kwa Mbunge wa Jimbo la Singida Mashariki na Mwanasheria Mkuu
Korea Kaskazini imeonya kuwa itasababisha maumivu na mateso makubwa kwa Marekani, ambayo hayajawahi kushuhudiwa. Imetoa angalizo hilo kama utawala wa