Wakazi wa kata ya Tomondo wilayani Morogoro jimbo la Morogoro Kusini Mashariki wiki hii imekuwa ni ya neema kwao kutokana na
Leo February 21, 2018 Katibu wa CCM wilaya ya Arusha, Musa Matoroka amewapokea madiwani Prosper Msofe na Obed Meng’oriki wa CHADEMA ambao walitangaza kujivua uanachama
Jeshi la Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam limewaachia kwa dhamana viongozi waandamizi wa chama cha Demokrasia na
Chama cha Mapinduzi (CCM) kimeibuka kidedea katika uchaguzi mdogo wa ubunge Jimbo la Siha mkoani Kilimanjaro baada ya Tume
Matokeo ya awali ya uchaguzi wa ubunge Jimbo la Siha yameanza kubandikwa nje ya vituo vya kupigia kura yakionyesha
Chama tawala Afrika kusini African National Congress (ANC) kimemuomba rasmi rais Jacob Zuma ajiuzulu baada ya yeye kukataa kufanya
CHAMA Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kimeridhia na kurejea kushiriki wa uchaguzi mdogo wa wabunge katika majimbo ya Kinondoni
Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Vincent Mashinji amesema kuwa yeye yuko tofauti na makatibu wengine
Kamati Kuu ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kesho inakutana katika kikao cha ‘dharura’ jijini Dar es Salaam. Naibu