CCM yaomboleza kifo cha Mbunge Gama.

In Kitaifa
Chama Cha Mapinduzi, kimetoa salamu za rambirambi kufuatia kifo cha aliyekwa Mbunge wa Songea Mjini kwa tiketi ya chama hicho Ndg Leonidas Gama kilichotokea usiku wa kuamkia leo.
Uongozi wa CCM chini ya Mwenyekiti wa Chama hicho Ndg, John Pombe Magufuli umetoa salamu hizo kupitia kwa Katibu Mwenezi, Ndg Humphrey Polepole imesea kwamba chama kimepokea taarifa za kifo hicho kwa mshtuko mkubwa na huzuni.
Aidha taarifa hiyo imeeleza kwamba kipindi chote cha uongozi wake alikuwa sehemu ya viongozi wa kisiasa ambao waliamini katika uelewa wa pamoja na matarajio, siasa safi na za kimaendeleo, uongozi bora na umuhimu wa kuweka maslahi ya nchi na taifa mbele.
 Mhe. Leonidas Gama amefariki dunia usiku wa kuamkia leo katika Hospitali ya Peramiho, Ruvuma.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

WANAFUNZI 500 WAPEWA MBINU WASILOWEE KWENYE MADAWA YA KULEVYA.

Na Tonie kaisoe ,Arusha Wanafunzi zaidi ya 500 wa shule ya Sekondari Arusha Jiji na Wilaya ya Arumeru wamepewa mbinu

Read More...

MR. IBU AFARIKI DUNIA

Mchekeshaji maarufu wa Nollywood nchini Nigeria, John Okafor, almaarufu Mr. Ibu amefariki dunia baada ya kuugua kwa muda mrefu.

Read More...

POLISI, LATRA WAPIGA FAINI MABASI YALIYO ZIDISHA NAULI ARUSHA.

Jeshi la Polisi kikosi cha Usalama Barabarani Mkoa wa Arusha kwa kushirikaiana na Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini (LATRA)

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu