Chelsea yamuongezea mkataba Olivier Giroud.

In Michezo

Klabu ya Chelsea, imemuongeza mkataba mshambuliaji wao Olivier Giroud.
.
.
Mshambuliaji huyo hapo awali mkataba wake katika klabu ya Chelsea, ulikuwa unafikia tamati mwezi wa saba mwaka huu.
.
.
Giroud, ameongeza mkataba wa mwaka moja ndani ya klabu hiyo na kumfanya abaki mpaka mwaka 2020.
.
.
Nyota huyo tayari ndani ya msimu huu ameifungia Chelsea jumla ya mabao 10 katika michuano yote.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

WANAFUNZI 500 WAPEWA MBINU WASILOWEE KWENYE MADAWA YA KULEVYA.

Na Tonie kaisoe ,Arusha Wanafunzi zaidi ya 500 wa shule ya Sekondari Arusha Jiji na Wilaya ya Arumeru wamepewa mbinu

Read More...

MR. IBU AFARIKI DUNIA

Mchekeshaji maarufu wa Nollywood nchini Nigeria, John Okafor, almaarufu Mr. Ibu amefariki dunia baada ya kuugua kwa muda mrefu.

Read More...

POLISI, LATRA WAPIGA FAINI MABASI YALIYO ZIDISHA NAULI ARUSHA.

Jeshi la Polisi kikosi cha Usalama Barabarani Mkoa wa Arusha kwa kushirikaiana na Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini (LATRA)

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu