Klabu ya Chelsea, imemuongeza mkataba mshambuliaji wao Olivier Giroud.
.
.
Mshambuliaji huyo hapo awali mkataba wake katika klabu ya Chelsea, ulikuwa unafikia tamati mwezi wa saba mwaka huu.
.
.
Giroud, ameongeza mkataba wa mwaka moja ndani ya klabu hiyo na kumfanya abaki mpaka mwaka 2020.
.
.
Nyota huyo tayari ndani ya msimu huu ameifungia Chelsea jumla ya mabao 10 katika michuano yote.