Croatia yatinga fainali Kombe la Dunia.

In Michezo

Timu ya taifa ya Croatia imefanikiwa kuingia hatua ya fainali ya michuano ya kombe la dunia baada ya kuishushia kipigo cha mabao 2 – 1 Uingereza.

Mchezo huo uliyokwenda hadi dakika 120 baada ya kumalizika dakika 90 kwa sare ya 1 – 1 imemshuhudia mchezaji Mario Mandzukic akiibuka shujaa kwakuifungia bao la pili na la ushindi timu yake ya taifa ya Croatia.

Waliyotupia kwenye mchezo huo alikuwa mchezaji wa Uingereza, Trippier akifunga dakika ya tano tu ya kipindi cha kwanza kisha Croatia ikisawazisha kupitia kwa Perisic dakika ya 68 na  kuufanya mchezo huo kuwa mgumu baada ya kumalizika dakika 90 kwa sare hiyo ya 1 – 1.

Kisha kuongezwa dakika 30 na Mario Mandzukic akaipatia Croatia bao la pili dakika ya 109 na kuufanya mchezo huo kumalizika dakika 120 kwa ushindi wa mabao hayo 2 – 1.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

WANAFUNZI 500 WAPEWA MBINU WASILOWEE KWENYE MADAWA YA KULEVYA.

Na Tonie kaisoe ,Arusha Wanafunzi zaidi ya 500 wa shule ya Sekondari Arusha Jiji na Wilaya ya Arumeru wamepewa mbinu

Read More...

MR. IBU AFARIKI DUNIA

Mchekeshaji maarufu wa Nollywood nchini Nigeria, John Okafor, almaarufu Mr. Ibu amefariki dunia baada ya kuugua kwa muda mrefu.

Read More...

POLISI, LATRA WAPIGA FAINI MABASI YALIYO ZIDISHA NAULI ARUSHA.

Jeshi la Polisi kikosi cha Usalama Barabarani Mkoa wa Arusha kwa kushirikaiana na Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini (LATRA)

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu