Didier Drogba akataa Mpunga Chelsea..

In Michezo

Mchezaji wa zamani wa timu ya taifa ya Ivory Coast na klabu ya Chelsea Didier Drogba amesema kuwa alikataa kazi ya kuwa sehemu ya makocha wa Chelsea wakiongozwa na Frank Lampard.

Ameeleza sababu ya kukataa kazi hiyo ni kutaka kutimiza ndoto yake ya kulitumikia taifa lake kwa kuwa Rais wa shirikisho la soka la nchi hiyo.

Nahodha huyo wa zamani wa Ivory Coast anataraji kugombea Urais wa Shirikisho hilo (IFF) dhidi ya Rais wa sasa Augustin Sidy Diallo kwenye uchaguzi wa Novemba mwaka huu.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

WANAFUNZI 500 WAPEWA MBINU WASILOWEE KWENYE MADAWA YA KULEVYA.

Na Tonie kaisoe ,Arusha Wanafunzi zaidi ya 500 wa shule ya Sekondari Arusha Jiji na Wilaya ya Arumeru wamepewa mbinu

Read More...

MR. IBU AFARIKI DUNIA

Mchekeshaji maarufu wa Nollywood nchini Nigeria, John Okafor, almaarufu Mr. Ibu amefariki dunia baada ya kuugua kwa muda mrefu.

Read More...

POLISI, LATRA WAPIGA FAINI MABASI YALIYO ZIDISHA NAULI ARUSHA.

Jeshi la Polisi kikosi cha Usalama Barabarani Mkoa wa Arusha kwa kushirikaiana na Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini (LATRA)

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu