Dongo Janja amshukuru Irene Uwoya kuchora tatoo ya jina lake.

In Kitaifa

Muigizaji wa Bongo movie Irene Uwoya ameonekana kuzidi kukolea kwa penzi la mume wake Msanii wa Bongo fleva Dogo Janja kwani jana ameonyesha tattoo ya Jina lake aliyochora.

Siku za hivi karibuni Uwoya na Dogo Janja wameonekana kuweka mambo yao hadharani kidogo kwenye mitandao ya kijamii baada ya kukaa kimya kwa muda mrefu tangu ndoa yao ifungwe.
Kupitia ukurasa wake wa Instagram Dogo Janja ameanika tattoo hiyo iliyochorwa na Uwoya kwenye maeneno ya bega iliyoandikwa Jina halisi la Dogo Janja ambalo ni Abdul.
Dogo Janja amemshukuru mke wake kwa kuchora tattoo ile na kumtaka amchoree tattoo nyingine lakini safari hii iwe kwenye maeneo nyeti kabisa.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

WANAFUNZI 500 WAPEWA MBINU WASILOWEE KWENYE MADAWA YA KULEVYA.

Na Tonie kaisoe ,Arusha Wanafunzi zaidi ya 500 wa shule ya Sekondari Arusha Jiji na Wilaya ya Arumeru wamepewa mbinu

Read More...

MR. IBU AFARIKI DUNIA

Mchekeshaji maarufu wa Nollywood nchini Nigeria, John Okafor, almaarufu Mr. Ibu amefariki dunia baada ya kuugua kwa muda mrefu.

Read More...

POLISI, LATRA WAPIGA FAINI MABASI YALIYO ZIDISHA NAULI ARUSHA.

Jeshi la Polisi kikosi cha Usalama Barabarani Mkoa wa Arusha kwa kushirikaiana na Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini (LATRA)

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu