Eneo lingine Tanzania lagundulika kuwa na mafuta.

In Kitaifa


Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania TPDC, limeanza hatua
ya awali ya utekelezaji wa mradi wa utafutaji wa mafuta katika
bonde la Mto Manonga, baada ya utafiti wa awali kubaini
uwepo wa miamba yenye viashiria vya mafuta katika bonde la
mto huo.


Mradi huo ujulikanao kama Eyasi-Wembele unatatekelezwa
katika Mikoa ambayo Mto huo unapitia ikiwemo Bonde la Ziwa
Eyasi na Bonde la Mto Manonga unaopatikana katika Mikoa ya
Tabora, Shinyanga, Singida na Manyara.
Mtaalam Mshauri wa Mradi huo Dkt Allan Mzengi kutoka TPDC, amezungumzia
uvumbuzi huo.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

WANAFUNZI 500 WAPEWA MBINU WASILOWEE KWENYE MADAWA YA KULEVYA.

Na Tonie kaisoe ,Arusha Wanafunzi zaidi ya 500 wa shule ya Sekondari Arusha Jiji na Wilaya ya Arumeru wamepewa mbinu

Read More...

MR. IBU AFARIKI DUNIA

Mchekeshaji maarufu wa Nollywood nchini Nigeria, John Okafor, almaarufu Mr. Ibu amefariki dunia baada ya kuugua kwa muda mrefu.

Read More...

POLISI, LATRA WAPIGA FAINI MABASI YALIYO ZIDISHA NAULI ARUSHA.

Jeshi la Polisi kikosi cha Usalama Barabarani Mkoa wa Arusha kwa kushirikaiana na Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini (LATRA)

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu