Hali ya Rick Ross yazidi kuimarika baada ya kupoteza fahamu.

In Burudani, Kimataifa

Big Boss wa Maybach Music Group , Rick Ross alikimbizwa hospitalini mapema hapo jana baada kupata tatizo la kushindwa kupumua na kupoteza fahamu.

Mtu wa karibu na raper huyo aliweza kupiga simu ili kwenda kumchukua mkali huyo na kumpeleka hospitali kwa ajili ya kupata matibabu
Kwa muibu wa mtandao wa TMZ, umeeleza kuwa Rick kwa sasa amewekewa machine za kupumulia za Oxygen ili kumsaidia aweze kukaa sawa na kupambana na tatizo hilo la nimonia.

Rapper Fat Trel ametumia ukurasa wake wa mtandao wa kijamii kuwa julisha mashabiki wao kuwa mkali huyo anaendelea vizuri kwa sasa.licha ya kuwa bado yupo chini ya uangalizi.

“JUS TALKED 2 MY BIG HOMIE… HE GOOD… HE IN DA HOSPITAL BUT HE IS NOT ON “LIFE SUPPORT” … HE GOOD,”

Hii sio mara ya kwanza kuripotiwa kwa taarifa za Rick Ross kupoteza fahamu na hata kusadikika kuwa na kifafa. Oktoba, 2011 Rozay alianguka kwa kifafa mara mbili, huku akidai ni kufanya kazi sana na kukosa usingizi.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

WANAFUNZI 500 WAPEWA MBINU WASILOWEE KWENYE MADAWA YA KULEVYA.

Na Tonie kaisoe ,Arusha Wanafunzi zaidi ya 500 wa shule ya Sekondari Arusha Jiji na Wilaya ya Arumeru wamepewa mbinu

Read More...

MR. IBU AFARIKI DUNIA

Mchekeshaji maarufu wa Nollywood nchini Nigeria, John Okafor, almaarufu Mr. Ibu amefariki dunia baada ya kuugua kwa muda mrefu.

Read More...

POLISI, LATRA WAPIGA FAINI MABASI YALIYO ZIDISHA NAULI ARUSHA.

Jeshi la Polisi kikosi cha Usalama Barabarani Mkoa wa Arusha kwa kushirikaiana na Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini (LATRA)

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu