Hamad Masauni achukua fomu Urais Zanzibar.

In Kitaifa, Siasa


Naibu Waziri wa Mambo ya ndani ya Nchi na Mbunge wa
Jimbo la Kikwajuni Unguja, Hamadi Yusuf Masauni
amajitokeza kuchukua fomu ya kuwania nafasi ya Urais wa
Zanzibar kwa tiketi ya Chama cha Mapinduzi CCM.


Mhandisi Masauni anakuwa mgombea wa 19 kufika katika ofisi
kuu za Chama cha Mapinduzi CCM Kisiwandui Mjini Unguja
kwa ajili ya kuchukua fomu hizo za kugombea nafasi ya Urais.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

WANAFUNZI 500 WAPEWA MBINU WASILOWEE KWENYE MADAWA YA KULEVYA.

Na Tonie kaisoe ,Arusha Wanafunzi zaidi ya 500 wa shule ya Sekondari Arusha Jiji na Wilaya ya Arumeru wamepewa mbinu

Read More...

MR. IBU AFARIKI DUNIA

Mchekeshaji maarufu wa Nollywood nchini Nigeria, John Okafor, almaarufu Mr. Ibu amefariki dunia baada ya kuugua kwa muda mrefu.

Read More...

POLISI, LATRA WAPIGA FAINI MABASI YALIYO ZIDISHA NAULI ARUSHA.

Jeshi la Polisi kikosi cha Usalama Barabarani Mkoa wa Arusha kwa kushirikaiana na Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini (LATRA)

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu