IGP Siro asema hali ya ulizi nchini ni shwari.

In Kitaifa

 

Jeshi la polisi nchini limesema kuwa, hali ya ulinzi na usalama nchini ipo shwari na wananchi wamekuwa wakitoa ushirikiano kwa jeshi hilo.

Pia limesema tayari maelekezo yametolewa kwa kamati za ulinzi na usalama katika ngazi zote za kata,wilaya na mikoa wawe wafuatiliaji kwani usalama wa nchi ni wa kila mmoja wetu.

Hayo yamesemwa mapema leo na mkuu wa jeshi la polisi nchini IGP Simon Siri.

 

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

WANAFUNZI 500 WAPEWA MBINU WASILOWEE KWENYE MADAWA YA KULEVYA.

Na Tonie kaisoe ,Arusha Wanafunzi zaidi ya 500 wa shule ya Sekondari Arusha Jiji na Wilaya ya Arumeru wamepewa mbinu

Read More...

MR. IBU AFARIKI DUNIA

Mchekeshaji maarufu wa Nollywood nchini Nigeria, John Okafor, almaarufu Mr. Ibu amefariki dunia baada ya kuugua kwa muda mrefu.

Read More...

POLISI, LATRA WAPIGA FAINI MABASI YALIYO ZIDISHA NAULI ARUSHA.

Jeshi la Polisi kikosi cha Usalama Barabarani Mkoa wa Arusha kwa kushirikaiana na Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini (LATRA)

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu