Ipo Lugha 1 inayozungumzwa na watu 3 pekee Afrika.

In Kimataifa, Kitaifa

Katrina Esau anafanya kila jitihada kuhakikisha kuwa lugha yake asili, ambayo kwa sasa inazungumzwa na watu watatu pekee, haiangamii.

Bi Esauni 84, ni mmoja wa watu watatu walio hai, ambao wanazungumza kwa ufasaha lugha iitwayo N|uu, mojawapo ya lugha zinazozungumzwa nchini Afrika Kusini ya jamii ya San, ambao pia wanafahamika kama Bushmen.

Lugha ya N|uu inachukuliwa kama lugha asili ya taifa la Afrika Kusini.

Huku kukiwa hakuna hata mtu mmoja ambaye anaweza kuzungumza kwa ufasaha lugha hiyo isipokuwa watu wa familia yake, lugha hiyo imetambuliwa na Umoja wa Mataifa kama lugha iliyo katika hatari kubwa ya kuangamia.

Lugha kubwa sita inayozungumzwa nchini Afrika Kusini:

Zulu Asilimia 22.7%, Xhosa Asilimia 16%, Afrikaans Asilimia13.5%,Kiingereza Asilimia 9.6%, Setswana Asilimia 8% na Sesotho Asilimia 7.6%

Kwa ujumla Afrika Kusini ina luhga rasmi 11.

Kiingereza ndio lugha inayozungumzwa kwa wingi kama lugha rasmi na lugha ya kibiashara.

 

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

WANAFUNZI 500 WAPEWA MBINU WASILOWEE KWENYE MADAWA YA KULEVYA.

Na Tonie kaisoe ,Arusha Wanafunzi zaidi ya 500 wa shule ya Sekondari Arusha Jiji na Wilaya ya Arumeru wamepewa mbinu

Read More...

MR. IBU AFARIKI DUNIA

Mchekeshaji maarufu wa Nollywood nchini Nigeria, John Okafor, almaarufu Mr. Ibu amefariki dunia baada ya kuugua kwa muda mrefu.

Read More...

POLISI, LATRA WAPIGA FAINI MABASI YALIYO ZIDISHA NAULI ARUSHA.

Jeshi la Polisi kikosi cha Usalama Barabarani Mkoa wa Arusha kwa kushirikaiana na Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini (LATRA)

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu