Irene Uwoya, Hamisa Mobetto wapewa onyo kali.

In Burudani
Msanii Irene Uwoya  na Mwanamitindo Hamissa Mobetto wamewajibishwa na Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania -TCRA  kwa kosa la kuweka picha za Nusu uchi mitandaoni kinyume na kanuni za maudhui mtandaoni za mwaka 2018.
Katika maamuzi yake na kwa kuzingatia utetezi wa Hamissa Mobetto ambaye amesema picha hizo alizipiga mwaka jana nchini Kenya, TCRA  imempa Onyo la mwisho na kwamba akirudia, atachukuliwa hatua kali za kisheria.
Aidha, TCRA imemtaka Hamissa Mobetto kuweka tangazo kwenye ukurasa wake wa Instagram la kuwaomba msamaha watanzania na kuwataka kutosambaza picha zake za nusu uchi.
Kwa upande wa Irene uwoya, yeye pia kapewa Onyo la mwisho kwa kuzingatia utetezi wake alioutoa, pia ametakiwa kuomba msamaha kupitia ukurasa wake wa Instagram.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

WANAFUNZI 500 WAPEWA MBINU WASILOWEE KWENYE MADAWA YA KULEVYA.

Na Tonie kaisoe ,Arusha Wanafunzi zaidi ya 500 wa shule ya Sekondari Arusha Jiji na Wilaya ya Arumeru wamepewa mbinu

Read More...

MR. IBU AFARIKI DUNIA

Mchekeshaji maarufu wa Nollywood nchini Nigeria, John Okafor, almaarufu Mr. Ibu amefariki dunia baada ya kuugua kwa muda mrefu.

Read More...

POLISI, LATRA WAPIGA FAINI MABASI YALIYO ZIDISHA NAULI ARUSHA.

Jeshi la Polisi kikosi cha Usalama Barabarani Mkoa wa Arusha kwa kushirikaiana na Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini (LATRA)

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu