Mkuu wa wilaya ya Arumeru Ndugu Jerry Cornel Muro amekabidhi kituo cha kisasa kwa ajili ya ukaguzi wa magari ya utalii pamoja na kituo cha kutolea taarifa za maeneo yenye vivutio vya utalii kwa mkoa wa Arusha na Tanzania
Kituo hicho ambacho kimejengwa katika eneo la kikatiti halmashauri ya Meru pembeni ya barabara kuu ya moshi arusha kwa jitihada za pamoja katika ya serikali ya mkoa wa Arusha chini ya Mkuu wa mkoa wa Arusha Mhe Mrisho Gambo, akishirikiana na mkuu wa wilaya ya Arumeru na kudhaminiwa na jumuiya ya wadau wa sekta ya utalii TATO ambaoi sasa kituo hicho kimekamilika na kiko tayari kwa ajili ya kutumiwa .