Joaon Lourenco atangazwa kuwa Rais mpya Angola.

In Kimataifa

Tume ya uchaguzi nchini Angola imesema chama tawala cha MPLA kimeshinda uchaguzi wa wiki hii na Joao Lourenco atakuwa rais mpya wa nchi hiyo.

Huku matokeo kamili yakitarajiwa kutolewa baadaye leo, maafisa wa tume wamesema chama cha MPLA kina uongozi mkubwa dhidi ya wapinzani wake baada ya tuluthi mbili ya vituo vote vya kupigia kura kuripoti matokeo yao.

Viongozi wa upinzani wanalalamika kwa kunyimwa fursa ya kuzungumza na vyombo vya habari ili kupambana katika uchaguzi huo kwa njia sawa, wakati kukiwa na mgogoro wa kiuchumi ambao umesababisha mfumko wa bei kupanda kwa asilimia 40.

Lourenco sasa atachukua nafasi ya Jose Eduardo Dos Santos, kiongozi aliyekosolewa sana katika uongozi wake wa miaka 38.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

WANAFUNZI 500 WAPEWA MBINU WASILOWEE KWENYE MADAWA YA KULEVYA.

Na Tonie kaisoe ,Arusha Wanafunzi zaidi ya 500 wa shule ya Sekondari Arusha Jiji na Wilaya ya Arumeru wamepewa mbinu

Read More...

MR. IBU AFARIKI DUNIA

Mchekeshaji maarufu wa Nollywood nchini Nigeria, John Okafor, almaarufu Mr. Ibu amefariki dunia baada ya kuugua kwa muda mrefu.

Read More...

POLISI, LATRA WAPIGA FAINI MABASI YALIYO ZIDISHA NAULI ARUSHA.

Jeshi la Polisi kikosi cha Usalama Barabarani Mkoa wa Arusha kwa kushirikaiana na Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini (LATRA)

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu