Kansela Angela Merkel ataka juhudi ziongezwe kupambana na magonjwa.

In Kimataifa

Kansela wa Ujerumani Angela Merkel ametaka kuongezwa kwa juhudi katika mapambano dhidi ya magonjwa duniani.

Akizungumza mwishoni mwa Kongamano la Afya Duniani lililoandaliwa mjini Berlin, Merkel amesema afya ni jukumu la kila mmoja.

Kansela huyo ambaye amezungumza kwa kulenga mripuko wa Ebola uliotokea nchini Congo miezi kadhaa iliyopita amedai kuwa magonjwa ya kuambukiza kama hayo huenda yakaathiri usalama na ustawi wa kanda nzima.

Amesema mfano kama huo unaonyesha wazi kwa nini afya ni jambo linalohitaji ushirikiano wa dharura kwa ajili ya kuwepo kwa ustawi wa kudumu kwa kila mmoja duniani.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

WANAFUNZI 500 WAPEWA MBINU WASILOWEE KWENYE MADAWA YA KULEVYA.

Na Tonie kaisoe ,Arusha Wanafunzi zaidi ya 500 wa shule ya Sekondari Arusha Jiji na Wilaya ya Arumeru wamepewa mbinu

Read More...

MR. IBU AFARIKI DUNIA

Mchekeshaji maarufu wa Nollywood nchini Nigeria, John Okafor, almaarufu Mr. Ibu amefariki dunia baada ya kuugua kwa muda mrefu.

Read More...

POLISI, LATRA WAPIGA FAINI MABASI YALIYO ZIDISHA NAULI ARUSHA.

Jeshi la Polisi kikosi cha Usalama Barabarani Mkoa wa Arusha kwa kushirikaiana na Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini (LATRA)

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu