Kasi ya utendaji kazi ya DAWASCO yamridhisha Prof.Kitila Mkumbo.

In Kitaifa

Katibu Mkuu Wizara ya Maji na Umwagiliaji, Prof. Kitila Mkumbo amesema kuwa anaridhishwa na kasi ya utendaji kazi wa DAWASCO, katika kusimamia miradi mbalimbali ya maji.

Ameyasema hayo wakati wa ziara yake ya kukagua miradi ya maji inayosimamiwa na DAWASCO,ambapo amesema kuwa kukamilika kwa miradi hiyo kutasaidia kutoa huduma za maji kwa wakazi zaidi ya laki mbili, kwa mikoa ya Pwani na Dar es salaam.

Hata hivyo, Ziara ya Katibu Mkuu Wizara ya Maji na umwagiliaji kukagua miradi inayotekelezwa na DAWASA katika mikoa ya Dar es Salaam na Pwani, imehusisha vyanzo vya maji vya Ruvu Juu, Mradi wa uchimbaji  Visima virefu Kimbiji na Mpera, Chanzo cha maji Wami unakotekelezwa mradi mkubwa wa upanuzi na ulazaji mabomba, ujenzi wa vituo vya kusambazia maji na matanki ya kuhifadhi maji Chalinze.

 

 

 

 

 

 

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

WANAFUNZI 500 WAPEWA MBINU WASILOWEE KWENYE MADAWA YA KULEVYA.

Na Tonie kaisoe ,Arusha Wanafunzi zaidi ya 500 wa shule ya Sekondari Arusha Jiji na Wilaya ya Arumeru wamepewa mbinu

Read More...

MR. IBU AFARIKI DUNIA

Mchekeshaji maarufu wa Nollywood nchini Nigeria, John Okafor, almaarufu Mr. Ibu amefariki dunia baada ya kuugua kwa muda mrefu.

Read More...

POLISI, LATRA WAPIGA FAINI MABASI YALIYO ZIDISHA NAULI ARUSHA.

Jeshi la Polisi kikosi cha Usalama Barabarani Mkoa wa Arusha kwa kushirikaiana na Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini (LATRA)

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu