Kenya yaandaa mkakati wa usalama utakaotumika wakati wa kampeni na uchaguzi.

In Kimataifa

Kenya imeandaa mkakati wa usalama, ambao utatumika wakati wa kampeni na uchaguzi.Mkakati huo utajumuisha maafisa laki 1 na elfu 80, watakaopata mafunzo kabla ya kufanyika uchaguzi mkuu Agosti 8.
Imeelezwa kuwa kupitia mpango huo, utawawezesha Wakenya kushiriki katika uchaguzi, katika njia inayodumisha umoja wa nchi.
Maafisa watakuwepo kulinda usalama, kuzuia vitendo vyovyote vya uvunjifu wa amani au visa vyovyote vya kuzua vurugu.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

WANAFUNZI 500 WAPEWA MBINU WASILOWEE KWENYE MADAWA YA KULEVYA.

Na Tonie kaisoe ,Arusha Wanafunzi zaidi ya 500 wa shule ya Sekondari Arusha Jiji na Wilaya ya Arumeru wamepewa mbinu

Read More...

MR. IBU AFARIKI DUNIA

Mchekeshaji maarufu wa Nollywood nchini Nigeria, John Okafor, almaarufu Mr. Ibu amefariki dunia baada ya kuugua kwa muda mrefu.

Read More...

POLISI, LATRA WAPIGA FAINI MABASI YALIYO ZIDISHA NAULI ARUSHA.

Jeshi la Polisi kikosi cha Usalama Barabarani Mkoa wa Arusha kwa kushirikaiana na Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini (LATRA)

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu