Mfalme wa mbio za Marathon Eliud Kipchoge anatarija kupokea taji la BBC la mwanaspoti bora wa mwaka rasmi siku ya leo Jumapili, Desemab 15 usiku wakati wa shoo ya BBC Sports Personality of the Year mara baada kupigwa kura zaidi kupitia mtandao
Eliud aliwabwaga wababe watano wa spoti akiwemo mchezaji gofu Tiger Woods.