Kocha wa Liverpool awaonya Real Madrid

In Michezo

Kocha wa Liverpool, Jurgen Klopp ameitahadharisha klabu ya Real Madrid kuelekea mchezo wao wa fainali wa klabu bingwa barani Ulaya hapo kesho Mei 26, 2018.

Klopp amesema kuwa anafahamu fika klabu yake haina uwezo mkubwa kulinganisha na wapinzani wao Real Madrid lakini hiyo siyo sababu kwa Madrid kuwapeza kwani wana historia nzuri kwenye mechi kubwa.

Sisi ni Liverpool sio timu mzuri pekee hata hao (Real Madrid) lakini tuna vina saba vya  kufanya vizuri kwenye mechi kubwa. Hakuna aliyejua kama tutafika hapa lakini leo hii tupo hapa na hii ni kwa sababu sisi ni Liverpool.“amesema Jugen Klopp kwenye mkutano wake na Waandishi wa Habari jioni ya leo mjini Kiev, Ukraine.

Wengine waliotoa mitazamo yao ni wachezaji wa Liverpool, Van Dijk na Nahodha Jordan Brian Henderson ambao wote wamekiri kuwa gemu ni nzito ila wataushangaza ulimwengu.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

WANAFUNZI 500 WAPEWA MBINU WASILOWEE KWENYE MADAWA YA KULEVYA.

Na Tonie kaisoe ,Arusha Wanafunzi zaidi ya 500 wa shule ya Sekondari Arusha Jiji na Wilaya ya Arumeru wamepewa mbinu

Read More...

MR. IBU AFARIKI DUNIA

Mchekeshaji maarufu wa Nollywood nchini Nigeria, John Okafor, almaarufu Mr. Ibu amefariki dunia baada ya kuugua kwa muda mrefu.

Read More...

POLISI, LATRA WAPIGA FAINI MABASI YALIYO ZIDISHA NAULI ARUSHA.

Jeshi la Polisi kikosi cha Usalama Barabarani Mkoa wa Arusha kwa kushirikaiana na Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini (LATRA)

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu