Korea Kaskazini imeonya kuwa itasababisha maumivu na mateso makubwa kwa Marekani, ambayo hayajawahi kushuhudiwa.

In Kimataifa, Siasa

Korea Kaskazini imeonya kuwa itasababisha maumivu na mateso makubwa kwa Marekani, ambayo hayajawahi kushuhudiwa.

Imetoa angalizo hilo kama utawala wa mjini Washington, utaendelea kushinikiza Korea Kaskazini iwekewe vikwazo vikali zaidi, kwa kufanya jaribio la sita la silaha za nyuklia.

Marekani inataka Korea Kaskazini iwekewe vikwazo vya kutouziwa mafuta, mali za kiongozi wa taifa hilo zizuiwe, uuzaji wa nguo katika nchi za nje ukomeshwe, na malipo ya wafanyakazi wageni raia wa Korea Kaskazini yasitishwe.

Marekani inataka baraza la usalama la Umoja wa Mataifa, kupiga kura leo kuridhia vikwazo hivyo licha ya upinzani kutoka kwa China na Urusi.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

WANAFUNZI 500 WAPEWA MBINU WASILOWEE KWENYE MADAWA YA KULEVYA.

Na Tonie kaisoe ,Arusha Wanafunzi zaidi ya 500 wa shule ya Sekondari Arusha Jiji na Wilaya ya Arumeru wamepewa mbinu

Read More...

MR. IBU AFARIKI DUNIA

Mchekeshaji maarufu wa Nollywood nchini Nigeria, John Okafor, almaarufu Mr. Ibu amefariki dunia baada ya kuugua kwa muda mrefu.

Read More...

POLISI, LATRA WAPIGA FAINI MABASI YALIYO ZIDISHA NAULI ARUSHA.

Jeshi la Polisi kikosi cha Usalama Barabarani Mkoa wa Arusha kwa kushirikaiana na Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini (LATRA)

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu