Lema awekwa kikaangoni.

In Kitaifa, Siasa

Spika wa Bunge Job Ndugai, amemtaka Mbunge wa Arusha Mjini Godbless Lema kuwasili leo katika kamati ya maadili majira ya saa 8:, na taarifa yake iwasilishwe kesho bungeni kwa tuhuma za kutoa kaauli za kulidharau Bunge, kwa kuliita ni dhaifu.

Lema alisema kauli hiyo alipokuwa akimtetea Mbunge wa Kawe, Halima Mdee mara baada ya Bunge kutoa azomio la kumtaka asihudhurie mikutano miwili.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

WANAFUNZI 500 WAPEWA MBINU WASILOWEE KWENYE MADAWA YA KULEVYA.

Na Tonie kaisoe ,Arusha Wanafunzi zaidi ya 500 wa shule ya Sekondari Arusha Jiji na Wilaya ya Arumeru wamepewa mbinu

Read More...

MR. IBU AFARIKI DUNIA

Mchekeshaji maarufu wa Nollywood nchini Nigeria, John Okafor, almaarufu Mr. Ibu amefariki dunia baada ya kuugua kwa muda mrefu.

Read More...

POLISI, LATRA WAPIGA FAINI MABASI YALIYO ZIDISHA NAULI ARUSHA.

Jeshi la Polisi kikosi cha Usalama Barabarani Mkoa wa Arusha kwa kushirikaiana na Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini (LATRA)

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu