Spika wa Bunge Job Ndugai, amemtaka Mbunge wa Arusha Mjini Godbless Lema kuwasili leo katika kamati ya maadili majira ya saa 8:, na taarifa yake iwasilishwe kesho bungeni kwa tuhuma za kutoa kaauli za kulidharau Bunge, kwa kuliita ni dhaifu.
Lema alisema kauli hiyo alipokuwa akimtetea Mbunge wa Kawe, Halima Mdee mara baada ya Bunge kutoa azomio la kumtaka asihudhurie mikutano miwili.