Ligi ya Ujerumani kuanza leo

In Kimataifa, Michezo

Ligi ya Ujerumani-Bundesliga inaanza tena leo, na kuifanya kuwa ligi kubwa ya kwanza barani Ulaya ambayo ilisitishwa, ikiwa ni miongoni mwa jitihada za kukabiliana na janga la corona. Asasi yenye dhamana na ligi hiyo DFL, ilimshawishi Kansela wa Ujerumani, Angela Merkel na viongozi wa majimbo kuruhusu kufanyika kwa mchuano huo, kwa makubaliano ya kufanya jitihada za hali ya juu za kudhibiti maambukizi. Kabumbu itasakatwa viwanja vikiwa vitupu. Ujerumani ikabiliwa na janga la corona huku ikiwa na vifo vichache, ikilinganisha na mataifa mengine ya ulaya lakini suala la mikusanyiko bado ni la hatari. Miongoni mwa mechi zitakazovuta wengi ni Borussia Dortmund na Schalke 04. Kwa kawaida mchuano huko unavutia umma watu 82,000 uwanjani lakini safari hii uwanja utakuwa mtupu. Jumapili Bayern Munich itafuana na Union Berlin.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

WANAFUNZI 500 WAPEWA MBINU WASILOWEE KWENYE MADAWA YA KULEVYA.

Na Tonie kaisoe ,Arusha Wanafunzi zaidi ya 500 wa shule ya Sekondari Arusha Jiji na Wilaya ya Arumeru wamepewa mbinu

Read More...

MR. IBU AFARIKI DUNIA

Mchekeshaji maarufu wa Nollywood nchini Nigeria, John Okafor, almaarufu Mr. Ibu amefariki dunia baada ya kuugua kwa muda mrefu.

Read More...

POLISI, LATRA WAPIGA FAINI MABASI YALIYO ZIDISHA NAULI ARUSHA.

Jeshi la Polisi kikosi cha Usalama Barabarani Mkoa wa Arusha kwa kushirikaiana na Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini (LATRA)

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu