Lowassa afuraishwa na ziara ya wanawake wajasiriamali kutoka Kenya.

In Kitaifa

Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Monduli Isaac Joseph amewataka wanawake wajasiria mali jamii ya wafugaji kutoka nchini Kenya kuja nchini tanznia haswa katika wilaya hiyo ya monduli kwa ajili ya kujenga ushirikiano wa pamoja na kuwekeza katika viwanda.
Akizungumza na wanawake hao wabunge,na makatibu tarafa kutoka nchini Kenya ,mara baada ya kufanya ziara ya kumtembelea waziri mkuu staafu Edward lowasa amesema amefurahishwa na ziara hiyo kwa kuwa wanawake hao kwa kiasi kikubwa wanepiga hatua kubwa za maendeleo.
Amesema hapo mwanzo jamii ya wafugaji haswa mtoto wa kike ilikuwa nyuma kimaendeleo ,na hata kielimu hivyo ni jambo la kutia moyo kwa wanawake hao kuweza kuhamasishana wenyewe kwa wenyewe na kuwekeza katika sekta mbali mbali.

Mbunge wa kaunti ya kajiado Charles lekatoo amesema kuwa ni vyema jamii ikabadilika na kutoa fursa kwa watu wote bila kujali jinsia kwa kuwa uwezo wa mtu hautegemei jinsia.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

WANAFUNZI 500 WAPEWA MBINU WASILOWEE KWENYE MADAWA YA KULEVYA.

Na Tonie kaisoe ,Arusha Wanafunzi zaidi ya 500 wa shule ya Sekondari Arusha Jiji na Wilaya ya Arumeru wamepewa mbinu

Read More...

MR. IBU AFARIKI DUNIA

Mchekeshaji maarufu wa Nollywood nchini Nigeria, John Okafor, almaarufu Mr. Ibu amefariki dunia baada ya kuugua kwa muda mrefu.

Read More...

POLISI, LATRA WAPIGA FAINI MABASI YALIYO ZIDISHA NAULI ARUSHA.

Jeshi la Polisi kikosi cha Usalama Barabarani Mkoa wa Arusha kwa kushirikaiana na Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini (LATRA)

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu