Lowassa aungana na Askofu Katoliki kwenye harambee Monduli

In Kitaifa

Waziri Mkuu Mstaafu Mh. Edward Lowassa leo Jumapili ameungana na Askofu Mkuu wa Jimbo Kuu Katoliki la Arusha Mhashamu Isaack Amani Massawe, Mapadre na waumini wa kanisa hilo jimbo la Monduli katika harambee ya kuchangia ujenzi wa nyumba ya Mapadre katika parokia hiyo.

PICHA Mhe.Lowassa na Askofu

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

WANAFUNZI 500 WAPEWA MBINU WASILOWEE KWENYE MADAWA YA KULEVYA.

Na Tonie kaisoe ,Arusha Wanafunzi zaidi ya 500 wa shule ya Sekondari Arusha Jiji na Wilaya ya Arumeru wamepewa mbinu

Read More...

MR. IBU AFARIKI DUNIA

Mchekeshaji maarufu wa Nollywood nchini Nigeria, John Okafor, almaarufu Mr. Ibu amefariki dunia baada ya kuugua kwa muda mrefu.

Read More...

POLISI, LATRA WAPIGA FAINI MABASI YALIYO ZIDISHA NAULI ARUSHA.

Jeshi la Polisi kikosi cha Usalama Barabarani Mkoa wa Arusha kwa kushirikaiana na Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini (LATRA)

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu