Waziri Mkuu Mstaafu Mh. Edward Lowassa leo Jumapili ameungana na Askofu Mkuu wa Jimbo Kuu Katoliki la Arusha Mhashamu Isaack Amani Massawe, Mapadre na waumini wa kanisa hilo jimbo la Monduli katika harambee ya kuchangia ujenzi wa nyumba ya Mapadre katika parokia hiyo.