Lupita Nyong’o awapa shavu wanafunzi Kenya.

In Burudani, Kitaifa

Muigizaji wa Filamu mwenye asili ya nchini Kenya na Mexico, Lupita Nyong’o awapa shavu wanafunzi 1,200 nchini Kenya.

Muigizaji huyo ametoa shavu hilo kwa wanafunzi waliopo Kisumu- Kenya, kuweza kuitazama filamu ya Black Panther amabyo ilitoka rasmi Ijumaa iliyopita ya tarehe 16.

Udhamini wa muigizaji huyo umekuja baada ya kuanzisha mashindano ya mtandao yaitayo #BlackPantherChallenge, yenye lengo la kusaidia watu wanaotamani kuitazama filamu hiyo ila kutokana na kushindwa kumudu gharama zake wanashindwa kuitazama.

“I joined the #BlackPantherChallenge and sponsored 1,200 schoolchildren to watch the film in Kisumu, Kenya with my mother’s help. I wanted kids from my hometown to see the positive images reflected in the film and superheroes that they can relate to on the big screen. No matter where you live, you can help make this happen for more children who can’t afford to see the movie,” ameandika Lupita kupitia mtandao wa kijamii wa Instagram baada ya kutoa msaada huyo.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

WANAFUNZI 500 WAPEWA MBINU WASILOWEE KWENYE MADAWA YA KULEVYA.

Na Tonie kaisoe ,Arusha Wanafunzi zaidi ya 500 wa shule ya Sekondari Arusha Jiji na Wilaya ya Arumeru wamepewa mbinu

Read More...

MR. IBU AFARIKI DUNIA

Mchekeshaji maarufu wa Nollywood nchini Nigeria, John Okafor, almaarufu Mr. Ibu amefariki dunia baada ya kuugua kwa muda mrefu.

Read More...

POLISI, LATRA WAPIGA FAINI MABASI YALIYO ZIDISHA NAULI ARUSHA.

Jeshi la Polisi kikosi cha Usalama Barabarani Mkoa wa Arusha kwa kushirikaiana na Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini (LATRA)

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu