Mama Salma  Kikwete ameungana na Wanawake Viongozi mbalimbali kutoka Afrika katika Mkutano wa Kimataifa Burundi.

In Kimataifa

Mke wa Rais Mstaafu ambaye pia ni Mbunge wa Kuteuliwa, Mama Salma  Kikwete ameungana na Wanawake Viongozi mbalimbali kutoka Afrika katika Mkutano wa Kimataifa wa Wanawake Viongozi unaofanyika nchini Burundi kuanzia tarehe 24-26 Octoba 2019

Mama Kikwete ambaye pia ni Mwenyekiti wa Taasisi ya Wanawake na Maendeleo (WAMA) anashiriki Mkutano huo wa siku 3,ambao umeanza Oktoba 24 na kufunguliwa na Rais wa Burundi, Pierre Nkurunziza.

Mkutano huu umehudhuriwa na Mke wa Rais wa Burundi mwenyeji muandaaji Mama Denise NKURUNZIZA, Naibu Rais wa pili wa Bunge la nchi hiyo, Jocky Chantal NKURUNZIZA, na Kaimu Balozi wa Tanzania Nchini Burundi, Dr. Edmud Juma Kitokezi.

Viongozi wengine ambao wamehudhuria Mkutano huo ni pamoja na Naibu Karibu Mkuu UN anayeshughulikia maswala ya Afrika Mama Bintou Keita , Mke wa Rais wa Congo Brazaville Mama Antoinette Sassau Nguess,Mke wa Rais wa Central Africa Republic Madam Brigette Touadera.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

WANAFUNZI 500 WAPEWA MBINU WASILOWEE KWENYE MADAWA YA KULEVYA.

Na Tonie kaisoe ,Arusha Wanafunzi zaidi ya 500 wa shule ya Sekondari Arusha Jiji na Wilaya ya Arumeru wamepewa mbinu

Read More...

MR. IBU AFARIKI DUNIA

Mchekeshaji maarufu wa Nollywood nchini Nigeria, John Okafor, almaarufu Mr. Ibu amefariki dunia baada ya kuugua kwa muda mrefu.

Read More...

POLISI, LATRA WAPIGA FAINI MABASI YALIYO ZIDISHA NAULI ARUSHA.

Jeshi la Polisi kikosi cha Usalama Barabarani Mkoa wa Arusha kwa kushirikaiana na Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini (LATRA)

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu