Timu ya Manchester United imeondoshwa katika michuano ya ligi ya mabingwa ulaya hatua ya robo fainali baada ya kukubali kipigo Cha mabao 3_0 kutoka kwa Barcelona
Mabao ya Lionel Messi na Philip coutinho yameifanya Barcelona kusonga mbele kwa hatua inayofuata kwa maana ya nusu fainali kwa jumla ya mabao 4-0 baada ya mchezo wa awali uliochezwa old Trafford Barcelona kuibuka kwa bao1-0
Nayo timu ya Juventus imeondoshwa kwenye michuano hyo kwa jumla ya mabao 3- 2 dhidi ya Ajax Amsterdam ya uholanzi