Man U, Juventus wafungishwa virago UEFA

In Michezo

Timu ya Manchester United imeondoshwa katika michuano ya ligi ya mabingwa ulaya hatua ya robo fainali baada ya kukubali kipigo Cha mabao 3_0 kutoka kwa Barcelona
Mabao ya Lionel Messi na Philip coutinho yameifanya Barcelona kusonga mbele kwa hatua inayofuata kwa maana ya nusu fainali kwa jumla ya mabao 4-0 baada ya mchezo wa awali uliochezwa old Trafford Barcelona kuibuka kwa bao1-0
Nayo timu ya Juventus imeondoshwa kwenye michuano hyo kwa jumla ya mabao 3- 2 dhidi ya Ajax Amsterdam ya uholanzi

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

WANAFUNZI 500 WAPEWA MBINU WASILOWEE KWENYE MADAWA YA KULEVYA.

Na Tonie kaisoe ,Arusha Wanafunzi zaidi ya 500 wa shule ya Sekondari Arusha Jiji na Wilaya ya Arumeru wamepewa mbinu

Read More...

MR. IBU AFARIKI DUNIA

Mchekeshaji maarufu wa Nollywood nchini Nigeria, John Okafor, almaarufu Mr. Ibu amefariki dunia baada ya kuugua kwa muda mrefu.

Read More...

POLISI, LATRA WAPIGA FAINI MABASI YALIYO ZIDISHA NAULI ARUSHA.

Jeshi la Polisi kikosi cha Usalama Barabarani Mkoa wa Arusha kwa kushirikaiana na Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini (LATRA)

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu