Man United watupwa nje na Sevilla kwenye michuano ya UEFA,Mourinho azungumza.

In Kimataifa, Michezo

Klabu ya Manchester United imeyaaga mashindano ya klabu bingwa barani Ulaya kwa kipigo cha goli 2-1 dhidi ya Sevilla kutoka Hispania.

Sevilla wakifurahia ushindi

Sevilla ndio walikuwa wa Kwanza kupata goli kunako dakika ya 73 na 78 kupitia kwa Ben Yedder huku goli la Man United la kufutia machozi likifungwa na Lukaku.

Baada ya mchezo huo, Kocha Manchester United, Jose Mourinho amesema kuwa ameyapokea matokeo kwa furaha ingawaje wachezaji wake wanamajonzi.

“Ni kweli Kila mtu ana huzuni lakini Mimi nimepokea matokea kwa furaha katika kipindi ambacho wachezaji wote wamejawa na huzuni. Kwani baada ya ushindi wa Liverpool niliwambia wachezaji kuwa kila mechi inayokuja ni lazima tushinde ili tusonge mbele walijua hilo, na kwa Sasa tufikirie zaidi mechi zinazokuja matokeo hayawezi kubadilika,”amesema Mourinho kupitia mtandao wa klabu ya Man United usiku wa Jana baada ya mchezo kumalizika.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

WANAFUNZI 500 WAPEWA MBINU WASILOWEE KWENYE MADAWA YA KULEVYA.

Na Tonie kaisoe ,Arusha Wanafunzi zaidi ya 500 wa shule ya Sekondari Arusha Jiji na Wilaya ya Arumeru wamepewa mbinu

Read More...

MR. IBU AFARIKI DUNIA

Mchekeshaji maarufu wa Nollywood nchini Nigeria, John Okafor, almaarufu Mr. Ibu amefariki dunia baada ya kuugua kwa muda mrefu.

Read More...

POLISI, LATRA WAPIGA FAINI MABASI YALIYO ZIDISHA NAULI ARUSHA.

Jeshi la Polisi kikosi cha Usalama Barabarani Mkoa wa Arusha kwa kushirikaiana na Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini (LATRA)

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu