Manchester City kushiriki kombe la Ulaya.

In Kimataifa, Michezo


Klabu ya Manchester imefanikiwa kubadili marufuku ya miaka
miwili kushiriki katika mashindano ya klabu bingwa Ulaya
kuanzia msimu ujao.


Mahakama ya kutatua mizozo ya michezo ilitangaza kwamba
klabu hiyo imeondolewa makosa ya ya kifedha chini ya sheria
ya Fifa siku ya Jumatatu.


Bodi ya kudhibiti matumizi ya klabu za Uefa CFCB ilitoa
marufuku hiyo Februari baada ya City kukiuka sheria ya
Financial Fiar Play FFP kati ya 2012 na 2016.
Faini ya City ya yuro milioni 30 sasa imepunguzwa hadi yuro
milioni 10.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

WANAFUNZI 500 WAPEWA MBINU WASILOWEE KWENYE MADAWA YA KULEVYA.

Na Tonie kaisoe ,Arusha Wanafunzi zaidi ya 500 wa shule ya Sekondari Arusha Jiji na Wilaya ya Arumeru wamepewa mbinu

Read More...

MR. IBU AFARIKI DUNIA

Mchekeshaji maarufu wa Nollywood nchini Nigeria, John Okafor, almaarufu Mr. Ibu amefariki dunia baada ya kuugua kwa muda mrefu.

Read More...

POLISI, LATRA WAPIGA FAINI MABASI YALIYO ZIDISHA NAULI ARUSHA.

Jeshi la Polisi kikosi cha Usalama Barabarani Mkoa wa Arusha kwa kushirikaiana na Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini (LATRA)

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu