Maofisa wa Pakistan wamekamata kilo 20 za madawa ya kulevya aina ya heroin katika ndege ya shirika la ndege la nchi hiyo Pia, iliyokuwa inajiandaa kuondoka kuelekea mjini London nchini Uingereza.

In Kimataifa

Maofisa wa Pakistan wamekamata kilo 20 za madawa ya kulevya aina ya heroin katika ndege ya shirika la ndege la nchi hiyo Pia, iliyokuwa inajiandaa kuondoka kuelekea mjini London nchini Uingereza.

Msemaji wa shirika hilo la ndege amesema madawa hayo yalikamatwa baada ya kufanyika ukaguzi katika uwanja wa ndege wa kimataifa mjini Islamabad.

Madawa ya kulevya aina ya heroin yamekamatwa katika ndege za shirika hilo alau mara tatu tangu mwezi Agosti mwaka jana ikiwemo tukio la wiki iliyopita lililotokea katika uwanja wa ndege wa Heathrow mjini London.

 

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

WANAFUNZI 500 WAPEWA MBINU WASILOWEE KWENYE MADAWA YA KULEVYA.

Na Tonie kaisoe ,Arusha Wanafunzi zaidi ya 500 wa shule ya Sekondari Arusha Jiji na Wilaya ya Arumeru wamepewa mbinu

Read More...

MR. IBU AFARIKI DUNIA

Mchekeshaji maarufu wa Nollywood nchini Nigeria, John Okafor, almaarufu Mr. Ibu amefariki dunia baada ya kuugua kwa muda mrefu.

Read More...

POLISI, LATRA WAPIGA FAINI MABASI YALIYO ZIDISHA NAULI ARUSHA.

Jeshi la Polisi kikosi cha Usalama Barabarani Mkoa wa Arusha kwa kushirikaiana na Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini (LATRA)

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu