Droo ya robo na nusu fainali ya michuano ya Kombe la Shirikisho la Azam (Azam Sports Federation Cup – ASFC), imefanyika hii leo.
Zifuatazo ni timu zitakazo cheza hatua ya robo fainali na nusu fainali ya FA.
Robo Fainali
Singida United vs Yanga SC,
Tanzania Prisons vs JKT Ruvu,
Azam FC vs Mtibwa Sugar,
Stand United vs Njombe Mji.
Nusu Fainali
Stand United/Njombe Mji vs Azam FC/Mtibwa Sugar,
Singida United/Yanga SC vs Tanzania Prisons vs JKT Ruvu
Kwa mujibu wa ratiba ambayo tayari imepangwa na TFF, mechi za robo fainali zimepangwa katika wiki ya mwisho ya mwezi Machi.