Matokeo ya droo ya robo na nusu fainali kombe la Shirikisho (ASFC) yatajwa.

In Kitaifa, Michezo

Droo ya robo na nusu fainali ya michuano ya Kombe la Shirikisho la Azam (Azam Sports Federation Cup – ASFC), imefanyika hii leo.

Zifuatazo ni timu zitakazo cheza hatua ya robo fainali na nusu fainali ya FA.

Robo Fainali
Singida United vs Yanga SC,
Tanzania Prisons vs JKT Ruvu,
Azam FC vs Mtibwa Sugar,
Stand United vs Njombe Mji.

Nusu Fainali
Stand United/Njombe Mji vs Azam FC/Mtibwa Sugar,
Singida United/Yanga SC vs Tanzania Prisons vs JKT Ruvu

Kwa mujibu wa ratiba ambayo tayari imepangwa na TFF, mechi za robo fainali zimepangwa katika wiki ya mwisho ya mwezi Machi.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

WANAFUNZI 500 WAPEWA MBINU WASILOWEE KWENYE MADAWA YA KULEVYA.

Na Tonie kaisoe ,Arusha Wanafunzi zaidi ya 500 wa shule ya Sekondari Arusha Jiji na Wilaya ya Arumeru wamepewa mbinu

Read More...

MR. IBU AFARIKI DUNIA

Mchekeshaji maarufu wa Nollywood nchini Nigeria, John Okafor, almaarufu Mr. Ibu amefariki dunia baada ya kuugua kwa muda mrefu.

Read More...

POLISI, LATRA WAPIGA FAINI MABASI YALIYO ZIDISHA NAULI ARUSHA.

Jeshi la Polisi kikosi cha Usalama Barabarani Mkoa wa Arusha kwa kushirikaiana na Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini (LATRA)

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu