Mbunge ahoji agizo la rais Magufuli.

In Kitaifa

Agizo la Rais Dr John Pombe Magufuli alilolitoa jana kuhusu wananchi wanaofanya shughuli za kibinadamu ndani ya mita 60 kutoka vyanzo vya maji, limeibua maswali bungeni mapema leo.

Mbunge wa Iringa Mjini kupitia Chadema Peter Msigwa katika swali la nyongeza, amesema agizo hilo linakinzana na sheria ya mazingira na kutaka kujua wao wamsikilize nani kati ya rais na waziri husika.

Swali hilo lilijibiwa na Naibu Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na Mazingira Kangi Lugola, kisha likatiliwa mkazo na waziri mwenye dhamana January Makamba.

Kutokana na kile alichokisema Msigwa kuwa Rais anafanya upendelea kanda ya ziwa, waziri wa mambo ya ndani Mwigulu Nchemba alisimama na kulizungumzia hilo.

 

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

WANAFUNZI 500 WAPEWA MBINU WASILOWEE KWENYE MADAWA YA KULEVYA.

Na Tonie kaisoe ,Arusha Wanafunzi zaidi ya 500 wa shule ya Sekondari Arusha Jiji na Wilaya ya Arumeru wamepewa mbinu

Read More...

MR. IBU AFARIKI DUNIA

Mchekeshaji maarufu wa Nollywood nchini Nigeria, John Okafor, almaarufu Mr. Ibu amefariki dunia baada ya kuugua kwa muda mrefu.

Read More...

POLISI, LATRA WAPIGA FAINI MABASI YALIYO ZIDISHA NAULI ARUSHA.

Jeshi la Polisi kikosi cha Usalama Barabarani Mkoa wa Arusha kwa kushirikaiana na Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini (LATRA)

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu