Mbunge wa viti maalum CHADEMA Mkoa wa Singida, Mhe.Jesca Kishoa amepata ajali leo wakati akielekea bungeni baada ya gari yake kugongana na gari jingine maeneo ya mataa njia panda ya Area D. Amelazwa kwa muda Zahanati ya Bunge akiwa katika uangalizi wa hali yake